iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Sheikh Khalid al Jundi, mwanachama wa Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu Misri amesikitishwa na uhaba wa wasomaji Qur'ani wanawake nchini humo.
Habari ID: 3471371    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/25